Artwork

İçerik SIRI ZA BIBLIA tarafından sağlanmıştır. Bölümler, grafikler ve podcast açıklamaları dahil tüm podcast içeriği doğrudan SIRI ZA BIBLIA veya podcast platform ortağı tarafından yüklenir ve sağlanır. Birinin telif hakkıyla korunan çalışmanızı izniniz olmadan kullandığını düşünüyorsanız burada https://tr.player.fm/legal özetlenen süreci takip edebilirsiniz.
Player FM - Podcast Uygulaması
Player FM uygulamasıyla çevrimdışı Player FM !

SIRI ZA BIBLIA: NGUVU ZA MADHABAHU/MAAGANO NA MIKATABA YA KUZIMU

10:53
 
Paylaş
 

Manage episode 313499879 series 3273506
İçerik SIRI ZA BIBLIA tarafından sağlanmıştır. Bölümler, grafikler ve podcast açıklamaları dahil tüm podcast içeriği doğrudan SIRI ZA BIBLIA veya podcast platform ortağı tarafından yüklenir ve sağlanır. Birinin telif hakkıyla korunan çalışmanızı izniniz olmadan kullandığını düşünüyorsanız burada https://tr.player.fm/legal özetlenen süreci takip edebilirsiniz.

Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata sasa hawana majibu ya maswali yao.

Matatizo sugu huwa chanzo chake na hayatokei pasipo chanzo/sababu. Chanzo au msingi wa matatizo sugu ni kuvunjika kwa makubaliano (maagano/mikataba) yaliyoingiwa na pande mbili au zaidi, anayevunja makubaliano anaingia kwenye matatizo ambayo ni matokeo yaliyokubaliwa (kwa kujua au bila kujua) wakati wa kufunga mkataba/mikataba hiyo (Kumbukumbu 28:15-68 “15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata…………..”). Kwa utaratibu na sheria za kiroho mikataba/maagano hayo hufanyika katika madhabahu ambazo ndio kiunganishi kati ya ulimwengu wa mwili na ulimwengu madhabahu hizi huonekana kwa macho ya kibinadamu (kwakuwa hujengwa katika ardhi)

--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
  continue reading

119 bölüm

Artwork
iconPaylaş
 
Manage episode 313499879 series 3273506
İçerik SIRI ZA BIBLIA tarafından sağlanmıştır. Bölümler, grafikler ve podcast açıklamaları dahil tüm podcast içeriği doğrudan SIRI ZA BIBLIA veya podcast platform ortağı tarafından yüklenir ve sağlanır. Birinin telif hakkıyla korunan çalışmanızı izniniz olmadan kullandığını düşünüyorsanız burada https://tr.player.fm/legal özetlenen süreci takip edebilirsiniz.

Kumekuwa na mitazamo mingi ya tofauti tofauti ya namna ya kushughulikia matatizo sugu ambayo yamewakabili watoto wa Mungu kwa muda mrefu sana. Kuna watu wametaka kutoka katika umasikini kwa muda mrefu lakini hawajatoka mpaka sasa na hawajui tatizo limekaa wapi, wengine wametaka kutoka katika matatizo ya ndoa, wengine wametaka kuoa au kuolewa lakini mambo hayo yameshindikana kabisa hata kwa kufunga na kuomba hawajaweza kutoka katika matatizo hayo na mpaka sasa hawana majibu ya matatizo yao. Kuna watu familia zao zimekuwa na vifo vya kutatanisha au vya ghafla, wengine wamekuwa na magonjwa ya kutisha kutoka kizazi hadi kizazi na hata sasa hawana majibu ya maswali yao.

Matatizo sugu huwa chanzo chake na hayatokei pasipo chanzo/sababu. Chanzo au msingi wa matatizo sugu ni kuvunjika kwa makubaliano (maagano/mikataba) yaliyoingiwa na pande mbili au zaidi, anayevunja makubaliano anaingia kwenye matatizo ambayo ni matokeo yaliyokubaliwa (kwa kujua au bila kujua) wakati wa kufunga mkataba/mikataba hiyo (Kumbukumbu 28:15-68 “15 Lakini itakuwa usipotaka kuisikiza sauti ya Bwana, Mungu wako, usiyaangalie kufanya maagizo yake yote na amri zake, nikuagizazo hivi leo, ndipo zitakapokujia laana hizi zote na kukupata…………..”). Kwa utaratibu na sheria za kiroho mikataba/maagano hayo hufanyika katika madhabahu ambazo ndio kiunganishi kati ya ulimwengu wa mwili na ulimwengu madhabahu hizi huonekana kwa macho ya kibinadamu (kwakuwa hujengwa katika ardhi)

--- Send in a voice message: https://podcasters.spotify.com/pod/show/siri-za-biblia/message
  continue reading

119 bölüm

Alle afleveringen

×
 
Loading …

Player FM'e Hoş Geldiniz!

Player FM şu anda sizin için internetteki yüksek kalitedeki podcast'leri arıyor. En iyi podcast uygulaması ve Android, iPhone ve internet üzerinde çalışıyor. Aboneliklerinizi cihazlar arasında eş zamanlamak için üye olun.

 

Hızlı referans rehberi