Tanzania : Human Right Watch lasema Tanzania inawahangaisha raia wa Ngorongoro
Manage episode 432750506 series 1220196
Katika makala haya saba yetu inalenga taifa la Tanzania eneo la Ngorongoro ambapo serikali imekuwa ikiwahamisha wenyeji eneo hilo, ili kuihifadhi eneo hilo kutokana na historia yake.
Tuangazia repoti ya shirika la kimataifa la kutete haki za biandamu la Human Watch ambayo imetuhumu serikali ya Tanzania kwa kuwafurusha kwa nguvu mamia ya raia wa kimasaai kutoka eneo la Ngorongoro, maafisa wa wanyama pori wakidaiwa kuwahangaisha kwa kuwapiga wenyeji ili kuwafurusha kutoka katika ardhi za mababu zao.
Karibu kwenye makala haya utaskia kutoka kwa wadau mbalimbali huku tukijadili ripoti hii ya Human Right Watch.
24 bölüm