Ulimwengu wa teknolojia masikioni mwako. Thread za twitter zilizogeuzwa kuwa sauti.
…
continue reading
1
Kutengeneza Podcast Bila vifaa vya Gharama
31:08
31:08
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
31:08
Ukitaka kuanza tengeneza podcast unaweza dhani unahitaji vifaa vya gharama ili uweze. Hiyo sio kweli kwa hapa HabariTech. Sisi tunatumia siku tu na tunatoa podcast nzuri.
…
continue reading
1
Utapoteza Account zako za Google
20:49
20:49
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
20:49
“Use it or Lose it” Google wanakwambia “Tumia au Ipoteze”. Wanaongelea zile accounts ambazo zimekaa muda mrefu bila kutumika. Hizi account zote zitafutwa bila kujali kama mmiliki yuko hai au tayari amefariki.
…
continue reading
1
Google Chrome CAPTCHA kuondolewa katika Version Zijazo
13:44
13:44
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
13:44
CAPTCHA imekuwa ni kitu inakera sana hivi karibuni pale inapokuja mara kwa mara. Kila muda inakutaka kuthibitisha kama wewe ni binadamu. Ni kama vile bots zimeanza kuichukua dunia, lakini haiko hivyo.
…
continue reading
1
Google kubadili icon ya HTTPS kwa sababu imepoteza uhalisia wake
11:07
11:07
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
11:07
Mwanzoni mwa miaka ya 2010s kufuli iliyofungwa ilianza kutumika kuonyesha kwamba website ziko salama. Miaka ya sasa hivi alama hii imeonekana kupoteza thamani yake kwa kuwa hata website zenye malicious code zinaonekana kutumia alama hii. Hivyo google wameamua kuja na utatuzi mpya wa tatizo hili.
…
continue reading
1
Namna mitandao ya kijamii inasikiliza kila unachoongea
26:08
26:08
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
26:08
Sio mara moja watu mtandaoni wamelalamika kwamba mitandao ya kijamii inasikiliza mazungumzo yao. Hiyo ni kwa sababu huwa wakizungumza kuhusu jambo wanaanza kuona matangazo kuhusu hicho kitu.Kuna namna ambayo mitandao ya kijamii inasikiliza mazungumzo yako, lakini sivyo hivyo unavyofikiria .
…
continue reading
Miaka yote google wamekuwa mstari wa mbele katika kutoka bidhaa/software ambazo zinapendelewa na watu. Imekuwa ni kampuni ambayo ikiona software haiko vizuri wanaiondoa sokoni na kuleta nyingine. Sasa hivi ni zamu ya kuiondoa kabisa Google Launcher.
…
continue reading
1
Facial Recognition: Inakuja na Maajabu Gani?
22:21
22:21
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
22:21
Kwa miaka mingi tumeona Facial Recognition ikitumika katika movies na tukatamani sana kuona namna inavyofanya kazi katika uhalisia. Wakati tukitamani sana kuona God's eye ya Fast and Furious kuwa ya kweli tayari kuna tech za facial recognition zinatumika duniani. Furaha ipo kwa mamlaka zinazohusika na kukaa na data zinakusanywa hapa, lakini kwa wan…
…
continue reading
1
Windows 10: Kuna Nini Microsoft Hawatuambii na Kwanini Inashida Sana?
25:31
25:31
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
25:31
Watumiaji wengi wa Windows 10 wamekutana na errors zilizopelekea wao kushindwa kufanya kazi. Mara nyingi hii inatokea baada ya kufanya update na kusalimiwa na BSOD (Blue Screen of Death). Kuna nini Microsoft wameshindwa kuboresha kwenye Windows 10 mpaka inakuwa hivi?
…
continue reading
1
HABARITECH: Tecno Phantom X2
21:33
21:33
Daha Sonra Çal
Daha Sonra Çal
Listeler
Beğen
Beğenildi
21:33
Flagship ya kwanza kutoka Tecno ikiwa na processor ya uwezo mkubwa na camera nzuri ya kushindanishwa na iPhone 14.
…
continue reading
Barua hii ya kuachana na simu yako imeandikwa kwa lugha ya kiingereza na Catherine Price katika kitabu chake cha "How to break up with your Phone". Imetafsiriwa na kusomwa na Charles Venny wa HabariTech
…
continue reading